Israel:Benjamin Netanyahu ahojiwa kwa tuhuma za rushwa


Waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu anahojiwa na polisi kwa tuhuma za ruswa zinazomkabili.
Netanyahu amekana kuhusika katika jambo hilo, huku akisema malalamiko yanayotolewa kwa yeye kupokea zawadi kutoka kwa wafanyabiashara mbalimbali ni uongo.
Televisheni imewekwa nyumbani kwake kuonyesha wapelelezi hao wakimuhoji.
Tekelezo hilo ni kwa amri ya mwanasheria mkuu wa Israel.





Netanyahu na mke wake Sara wamehusishwa katika kashfa mbalimbali kipindi cha nyuma, ikiwemo tuhuma za matumizi mabaya ya fedha za serikali.

Post a Comment

[blogger]

MKRdezign

Blogger Widgets

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget