Jinsi ya kupika wali wa kukaanga wa kitunguu swaumu


Mahitaji

  • 500 gram za wali ulioiva.
  • 2 kijiko kikubwa cha chakula kitunguu swaumu kilichosagwa.
  • 4 au 5 mbegu nzima za kitunguu swaumu kilichomenywa (sio lazima).
  • 4 miti ya majini ya kitunguu maji chop chop.
  • 5 gram chumvi.
  • 1 kijiko kikubwa cha chakula cha siagi (butter).

Jinsi ya kupika
  1. Weka siagi kwenye kikaango kilichokwisha pata moto ili iyeyuke kisha weka mbegu za kitunguu swaumu ziendelee kuiva.
  2. Kaanga mpaka iwe ya kahawia hakikisha haiunguwi kisha toa hizo mbegu na weka pembeni..
  3. Katika kikaango hicho hicho, weka kitunguu swaumu cha kusagwa na majani ya kitunguu maji mabichi yaliyo katwa katwa
  4. Mchanganyiko wako ukishalainika na kutoa arufu nzuri, chukua wali wako na weka katika kikaango na hakikisha una changanya haraka haraka
  5. Weka zile mbegu za kitunguu swaumu ulizokaanga mwanzo na uendelee kuchanganya ili iweze changanyika vizuri.
  6. Chakula hiki unaweza kula na mchuzi au mboga za aina yeyote.  
  7.  
    Pia chakula hiki kinaweza kuliwa pamoja na tunda la parachichi ili kuongeza ladha ya chakula chako
     

Post a Comment

[blogger]

MKRdezign

Blogger Widgets

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget